Wednesday, May 11, 2011


Mambo ya kisasa yanaenda yakiongezeka! Kiwanda kipya na cha kisasa cha uchapaji magazeti, vitabu, majarida, vipeperushi, madaftari na kadhalika kilichofunguliwa hivi karibuni huko Mapia, Bagamoyo.
Posted by Picasa

Biashara Matangazo! Kwa hisani ya Michuzi Blog
Posted by Picasa
Posted by Picasa

Wiki hii huku Mbezi kwetu tumeamka na Ukungu huu. Umenikumbusha sana kwetu Usambaani!
Posted by Picasa

Saturday, January 08, 2011


Michael Owen wa Manchester United wa Mbezi mwisho akivua samaki kwenye Mtaro wa maji machafu eneo la Mbezi Shamba

Posted by Picasa

Monday, December 27, 2010


Siku hizi kwenda kwetu ni Starehe! Mabasi kama Ndege vile! Twaja lheo twaondoka lheo lheo!
Posted by Picasa

Hapa ndio Jikoni penyewe katika masuala ya mawasiliano. Si haba.
Posted by Picasa

Kweli Mchina kaleta mambo!
Posted by Picasa

Safari ya kupeleka Bidhaa mikoani usiku wa kuamkia sikukuu ya Krisimasi imeishia Mbezi kwa Yusufu kwenye Mtaro!
Posted by Picasa