Hili ndio Soko Kuu la Bumbuli ambalo liko eneo la Salem na huwa siku ya Jumanne na Jumamosi. Picha hii imepigwa siku ya Jumapili mchana ambapo wenyeji wa eneo hilo wanakuwa majumbani wakipumzika. Nyuma ni eneo la Mlima wa Kwentui ambao ni maarufu sana kwa Picnic siku za Sikukuu na Ubarikio.
MADUDA: Hii ni shule mashuhuri sana 'Bumbuli City' ambayo
Wasomi wote wa miaka ya 50 hadi 70 wa 'jiji' hilo walisoma hapo
wakati huo ikijulikana kama 'Maduda Upper Primary School'