Wednesday, May 11, 2011


Mambo ya kisasa yanaenda yakiongezeka! Kiwanda kipya na cha kisasa cha uchapaji magazeti, vitabu, majarida, vipeperushi, madaftari na kadhalika kilichofunguliwa hivi karibuni huko Mapia, Bagamoyo.
Posted by Picasa

Biashara Matangazo! Kwa hisani ya Michuzi Blog
Posted by Picasa
Posted by Picasa

Wiki hii huku Mbezi kwetu tumeamka na Ukungu huu. Umenikumbusha sana kwetu Usambaani!
Posted by Picasa

Saturday, January 08, 2011


Michael Owen wa Manchester United wa Mbezi mwisho akivua samaki kwenye Mtaro wa maji machafu eneo la Mbezi Shamba

Posted by Picasa