Friday, January 27, 2012

Mabibi na Mabwana,
Ninasikitika kuwa kutokana na kamera/Simu yangu kuibiwa na vibaka wa Bongoland, nimesitisha kuweka picha mpya kwenye blog hii kwa muda.
Na kutokana na haya 'Maisha Magumu kwa Kila Mtanzania' yaliyoshika kasi ukiachilia mbali mimi kuwa Mstaafu, huenda hali hii ya kutokuwepo na picha mpya kwenye Blog yetu hii ikachukua muda kidogo. Tusameheane na Tuvumiliane...!