Tuesday, December 01, 2009


Mtaa wetu sasa Unapendeza, Asante Voda!
Posted by Picasa

Kila mahali, Watu Kibao...hasa kwenye ATM!
Posted by Picasa

Kwa wale ambao hawali sana mchicha, kwenye tangazo hili lililopo nje ya moja za ofisi zake Halimashauri ya manispaa ya Temeke inatuambia kuwa imedhamiri kuwa wakazi wote wa Manispaa; Wanawake kwa Wanaume wawe wameondokana na umasikini, wamepata Elimu, wanaishi katika maisha bora kwenye makazi na miundombinu bora chini ya Uongozi wa Kidemokrasia unaozingatia maadili ya Utawala bora na kuheshimu Umoja wa Kitaifa ifikapo.......2010 yaani Mwaka Kesho!
Posted by Picasa

Makazi ya baadhi ya Wakazi wa eneo la Jangwani.
Posted by Picasa


Shortcut yetu ya Jangwani kutoka Kariakoo kwenda Kigogo. Inategemewa kupunguza foleni kubwa wakati wa asubuhi na jioni kwenye barabara ya Morogoro.
Posted by Picasa