Friday, June 27, 2008


Mitaa ya Uswazi ambapo nyakati za jioni hugeuzwa kuwa 'National Stadium' kwa ajili ya mechi za Chandimu huku wachezaji wakilazimika kupiga chenga magari yanayotumia barabara husika wakati mechi ikiendelea!
Posted by Picasa

5 comments:

Fita Lutonja said...

nimefurahi sana chukua hatua komboa nchi yako inaangamia

Anonymous said...

Makala yako ya kunusu kina dada na muziki wa dansi kweli umenikumbusha mbali sana miaka ile ambapo ingawa tungo ziliimbwa na sie kina baba lakini ujumbe wa hisia halisi kali zilifikia wasikilizaji.Waongezee na Mkuki Moyoni wa Safari Trippers, Afro 70 Mkutano wa Lagos n.k
Nadhani vijana wa kizazi kipya wamesoma vipengele vya nyimbo hizo na watazifanyia kazi kuboresha kazi zao kama vijana wa kileo huku ulaya wanao husudu tungo za kina Tom Jones, James Brown, Chaka
Khan, Ister Sledge, Cameo,
Atlantic stars n.k
Mdau
Rocky
London

Anonymous said...

Hongera sana kwa kuelimisha jamii. Napenda kuongezea maoni yangu ktk makala yako ya kuhusu Naibu waziri kukataza wanafunzi kutumia simu za mkononi. Kwa maoni yangu pia nafikiri amekiuka utawala wa kisheria.

John Mwaipopo said...

Mzee vipi ndo hatutakuona tena, au?

Anonymous said...

Asante Mkuu! Tupo pamoja, ni mambo tu yalipandana!