Thursday, April 13, 2006

Napenda kuamini kuwa kwa wasomaji wa magazeti wengi walioko bongo jina la Chesi Mpilipili sio geni kwao kwa maana ya kwamba watakuwa wameishasoma makala zangu kadhaa za kiswahili na kiingereza kupitia magazeti mbali mbali yanayochapishwa bongo.

naamini kuwa huu utakuwa ni uwanja mpana zaidi wa kuwasiliana nao, wasomaji na waandishi wengine sehemu mbali mbali za ulimwengu huu. naomba kupiga (ama ni kubisha?) hodi.

No comments: