Thursday, February 21, 2008


Kipaimara ni miongoni mwa siku muhimu sana kwa Wakristo ambayo huashiria watoto kumaliza 'ngwe' ya utoto na kuingia ukubwani baada ya 'shule' ya miaka miwili. Pichani, David anapongezwa na mama yake siku ya Kipaimara chake.
Posted by Picasa

No comments: